MFANYAKAZI wa MOCHWARI Afunguka - "WATU WANATAKA MAJI YA MAITI, HUWA TUNAWACHAPA BAKORA!"
MFANYAKAZI wa nyumba ya Kuhifadhia Marehemu Katika Hosptali Ya Mount Meru iliyopo Mkoani Arusha ameleza changamoto aliyoipitia wakati wa wimbi kubwa la taharuki ya ugonjwa wa Corona Ulivyoingia Nchini na changamoto zingine tangu ameanza kuhudumu kwa miaka 18 iliyopita.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@RuzoOwzy3 years agoMtangazaji na rasta wote wapo vizuri. Maswali yotekuhusu mochwari, kama yamejibiwa. labda moja la namna gani alizoea hiyo kazi, coz mwanzoni nahisi nae alikuwa anaogopa. 25
@
@ruthshoo43773 years agoYaani huyu kaka ni jasiri mnoo na huduma yake ni nzuri mungu aendelee kumlinda. 33
@
@abdulparesh48993 years agoMtangazaji unauliza maswali vzr sana babu big up sana. 42
@
@ukhutfatumah11543 years agoNimejitadi kusikiliza mbk mwisho lakin alhamdulillah nimejalibu kusikiluza kwa makin ili niulize lakin yote yameulizwa na kujibu respect mtangazi much love from uae. 3
@
@eliyantv24news263 years agoRasta yupo vizuri sana, hongera sana, mungu akubariki. 1
@
@kuschprince32163 years agoPresenter na mhojiwambaya! This is what we call jounarlism; keep it up bro watching from europe. 9
@
@pichunakichuna21113 years agoNimempenda rasta ako sawa sana mugu akubariki sana. 4
@
@khadijahomankweliyamjahaya74213 years agoSafi sana kaka unamsimamo na kazi yako una hofu ya mungu maan haya maji kweli wapeni bakola ase imani chafu. 5
@
@michaeledward4783 years agoKaka nice sana mungu akulinde na akusaidie.
@
@heritier51193 years agoMwanadamu asiye na akili umuua mwanadamu mwenzake hali nae ni marehemu mtarajiwa. 37
@
@trizahwanjiru49782 years agoYaongopesha jamani, ewow mungu wangu umetupea talanta nyingi i say.
@
@sakinaramzu28783 years agoUnakaz nzuri na roho mzuri sana rasta mungu akutunze. 9
@
@moshimgaza56423 years agoMungu akulipe. Watandikeni wakome mungu atakulipa kwa hilo. 1
@
@mamachris68113 years agoRasta ni imani, dred ni mtindo wa nywele. 19
@
@pizohunter77033 years agoJiran mwenye huduma kubwa kwa jamii pamoja sn brother mwenyez mungu akutunze sn kaka.
@
@charlesmollel18453 years agoMtangazaji. Wew n shujaa. Mbunifu. Utafika mbal sana. 1
@
@captinadams2843 years agoHuyu rasta ako very mature and i love his courage. 1
@
@yusuphjonathan29703 years agoHii kaz naipenda sana ila sijapata nafax ya kaz kama kunakaz munambie wadau.
@
@veronkanini35563 years agoHuyo mzee nimempenda aki mungu akumpe maisha marefu.
@
@ahmadkasika71143 years agoJamaa nimekuelewa mstari wa mwisho, tuwajali ndugu zetu wakiwa hai, sio mtu kafa ndio mnamjali haina maana yoyote. 20
@
@hassandalida75063 years agoHongera sana ni mara yakwanza kumsikiya mtangazaji muzuri kama wewe.
@
@shannelika7183 years agoMtangazaji ametisha sana maswali mazuri mno. 8
@
@fatmabhai28122 years agoMna wazimu hamna maadili. Maiti wa kike hawezi kukoshwa na mwanamme. Kidini khaswa kiislam hairuhusiwi. Hao wengine sielewi. Hata iyo kuzalishwa pia id="hidden4" kidini mjamzito azalishwe na doctor mwanamke namshkuru allah kuniumba muislamu na kufata maagizo ya dini yangu alhamdulilah. ...Expand
@
@wallesmdoe9164last yearRas yupo vzr sana anavyojibu maswar siopw.
@
@elizabethisrael42563 years agoYou can not be normal. No! Hela wanaoroa wanaotaka hayo maji ni mengi lazima umuogope tu mungu ndio ikatae.
@
@beproudofyourself.38763 years agoMtangazaji auliza maswali vizuri mkono ukiwa juu ya jeneza mm siwezi kweli. 1
@
@jayjay43133 years agoDa, mtaua wachawi wa watu rasta mjue lo, sio kwa huduma hiyo ya mzigo wa bakora. Bora mngewalaza pembeni ya maiti ili uchawi uwatoke. Cheka leo, bakora tu babake da, mtangazaji nimekukubali, point juu ya swali, haemi mtu, na wala halipotei bando huku. ...Expand12
@
@thegreat.98693 years agoHahahaaa. Rasta anajibu simpo sana jamani.
@
@neemaatanasi34983 years agoMaswali yapo vizuri na majibu pia yapo vizuri kiufupi mpo vizuri. 5
@
@avitusmichael53 years agoNakukubali mwamba, unajiamini sana asee. 1
@
@J4UPro3 years agoNajivunia kuwa muislamu maiti wa jinsia ya kike huoshwa na wanawake na wanaume huoshwa na wanaume. 26
@
@aloycerobert28023 years agoWeacha tu namkumbuka jamaa yang aliye niandalia baba yang mzazi ase wako vzr sana. 1
@
@petroniammasi69993 years agoNimemkubal sana rasta hata mtangazaji yuko vizuri.
@
@bitesimon6792 years agoRasta ana point interview ilikuwa nzr, mjali mtu akiwa hai.
@
@filbertnashon71603 years agoSasa maji ya maiti wanapelka wapi? Aise ebo.
@
@mussataliye78153 years agoMaswal yenye akil na majibu yenye kueleweka. 4
@
@akinandrea39113 years agoSafi sana! Maswali na majibu mafupi yaliyonyooka.
@
@linetnekesa80193 years agoUna ujasiri kaka mm hata kupitia hata karibu na kaburi nyakati za usiku siwez sembuze mauro balaha. 1
@
@salimalaquimane26403 years agoAlhamdulillillah kua muislam maana ni lazima ni wanistir wanawake wenzang. 15
@
@ibrahmanoma41793 years agoMtangazaji yupo poa kwa maswali na jamaa anayejibu yuko poa kwa kujibu maswali. 2
@
@shadiamuwadhi87173 years agoNi kwanini mtu umupeleke ndugu yako kwenda kuonya na waitu wasio muhusu kwanini tusiwakoshe sisi ndugu kwahiyo inamaana gani dah naomba mungu kama niko. ...Expand
@
@mamadestiny84673 years agoHahaa heti bakora safi chapa na msiwape.
@
@saidswalehe29073 years agoWakristo hamna kitu kabisa yan mwanaume anamuosha mait mwanamke daah.
@
@jothamekisouke33743 years agoBaadhi ya vtuo vya afya huwa inatokea hyo. 2
Related videos for MFANYAKAZI wa MOCHWARI Afunguka - WATU WANATAKA MAJI YA MAITI, HUWA TUNAWACHAPA BAKORA:
labda moja la namna gani alizoea hiyo kazi, coz mwanzoni nahisi nae alikuwa anaogopa. 25
tuwajali ndugu zetu wakiwa hai, sio mtu kafa ndio mnamjali haina maana yoyote. 20
maiti wa jinsia ya kike huoshwa na wanawake na wanaume huoshwa na wanaume. 26