Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella katika kuhakikisha anawahudumia wananchi wa Mwanza aliamua kutoka nje ya Ofisi yake na kusilikiza kero na matatizo ya wananchi waliofika Ofisi kwake huku akiahidi kuwafuata wananchi wa Wilaya ya Ilemela kutatua migogoro ya ardhi na matatizo mengine.
@veronicasarvatory95167 years agoMungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani amina. 1
@
@idrisarashidi40467 years agoSafi sana mheshimiwa mongela kwa kazi nzuri. 1
@
@mamafranjovlog727 years agoKazi nzuri sana baba mungu akubariki kusaidia waitaji. Haahaa ila mwisho kanivunja mbavu eti alokufa aje na cheti cha kifo alohai aje.
@
@faidamanoni22857 years agoWe fanya kazi wachini yako hawajirlewi. 1
@
@alfrednziku90757 years agoWakuu wengine wote wa mkoa waige mfano wa mkuu wa mkoa wa mbeya (amos makala) ambaye ana ratiba rasmi kwa mwezi mzima ikiwemo ratiba ya kuonana na kuwasikiliza hii aliipanga na anaifuata tokea alipoteuliwa. ...Expand2
@
@magorimagori92645 years agoHuyu ndo jembe letu lana kukuombea sana. Piga kazi brother.
@
@wilsonmasero59767 years agoMkuu wa mkoa huyu huwa namuelewa sana ana busara sana. 1
@
@adrianmallyakibona.3527 years agoWananchi kama wamekata tamaa hivi. Najiuliza mkuu wa mkoa hana watendaji mpaka a attend mtu mmoja? 2
@
@jonasmjoseph91637 years agoUtaratibu angeliwaita ofisini, kazi zuri ila utalatibu sio mzur ongera mkuu.
Related videos for RC MWANZA ALIVYOACHA OFISI NA KUKAA NJE KUHUDUMIA WANANCHI: