Usafiri katika kisiwa cha Zanzibar kwa sasa ni rahisi baada ya kampuni ya Zanzibar fast ferries kuwekeza katika usafiri wa majini.
#Zanzibar #Usafiri #Baharini #zanzibarfastferries
@maulidsaleh17945 years agoHongera wazanzibar kwa kupata meli mpya mung aijalie kila la kher ktk safari zake. Ameen. 2
@
@samsungjsevenprime57176 years agoNyc mungu aijaalie iwe meli yenye kheri na sisi wa znz sote kwa jumla amiin. 10
@
@salehsuleiman12185 years agoMasha allah vzr sana allah akupe wepes.
@
@gulionicity27646 years agoNice.Competition muhimu.bei zipungue.Allah Barik Vigor pia. 8
@
@zplusmediatz6 years agoAhsante sana mhe. Kweli tumepata muarubaini wa usafiri maana hata bei ukipunguza itakuwa safi tutawakimbia azam na ajipange upya.
@
@samsungjsevenprime57176 years agoM/mungu atujaalie tusafirie meli hiyo kwa raha na salama bila usumbufu wowote amiin. 6
@
@khamisame46495 years agoMm nawaomba kwaza wakaijaribu mkondo wa nungwi. 2
@
@salehkhamis99785 years agoHongera turkey" sasa tuta ondokana na usumbuf wa usafiri tushachoka maana iliku mwanzo ticket ukikosa kukata leo ukenda siku ya pili zishapandishwa bei. 2
@
@alihamad60465 years agoMashallah angalau maana jamaa alikua peke yke anatusokotta balaa na bei zake duh.
@
@ahmadsayyeed29745 years agoWeka pembeni baharesa turki number one kila siku bakhresa alikua anaambiwa apeleke meli wete akasema sijui gati mbovu alipoona tayari mwenzake amepeleka. ...Expand
@
@islamubakarpba95615 years agoMusikufuru bahari haina kiboko mungu wape wepesi wtz wote.
@
@salehkhamis99785 years agoHongera sana turkey maana baharesa akiona ticket zake zinanunuliwa kwa sana anaanza kutupandishia mabei. 2
@
@gozikongwe27785 years agoNakumbuka kati ya miaka ya 2007 hadi 2011 mtu aliweza kusafiri kutoka dsm-pba moja kwa moja na unafika siku hiyohiyo (unaondoka pemba saa moja na robo. ...Expand1
@
@alisaid24104 years agoMbwa wa bakhresa wanajiona keki wanaringa na vilemba vyao kama popo utadhani huyo boss wao ndo kawatuma wawe nakiburi wanajiona wako kwenye qatar. 1
@
@hamzahaji1755 years agoNauli zipunguzwe atumbandi tena makherasa ajali wanyonye.
@
@salehsalhamselem32855 years agoInabeba abiria zaidi ya alfu moja ikizama mnasema abiria mia 2 ndio ilichukua p.
@
@abdulhamidy89205 years agoApo kidogo patam maana naona azam katawala bahari.
@
@ismailjuma36925 years agoKiukweli shida ni usafiri kutoka pemba to dsm au dsm to pemba kwanini pasiwepo na usafiri wa cku moja bila kulala kwenye meli ukafika cku ya pili kwani pana umbali gani? 1
@
@suleimanally58705 years agoHmed maulid wewe mjinga kweli au ndoo katika mitu ambayo haina heri hapa duniani nakesho ahera nawe nimmoja wao wewe shida zinaondoka ila kwa ujingawako. ...Expand1
@
@fugameza60114 years agoPowa isiwani tv hilo siyo kweli upo ulipo wewe tuu mbona hatuja kusikiya vitambulisho kule wanaliyaa nenda nawe upo tuone kama upo au upo hoii.
@
@kingayo9995 years agoNingependa meli hii ifunge gati bandari ya wete ingependeza zaid.
@
@ahmadsayyeed29745 years agoWeka pembeni baharesa turki number one kila siku bakhresa alikua anaambiwa apeleke meli wete akasema sijui gati mbovu alipoona tayari mwenzake amepeleka. ...Expand
@
@gozikongwe27785 years agoNakumbuka kati ya miaka ya 2007 hadi 2011 mtu aliweza kusafiri kutoka dsm-pba moja kwa moja na unafika siku hiyohiyo (unaondoka pemba saa moja na robo. ...Expand1
@
@suleimanally58705 years agoHmed maulid wewe mjinga kweli au ndoo katika mitu ambayo haina heri hapa duniani nakesho ahera nawe nimmoja wao wewe shida zinaondoka ila kwa ujingawako. ...Expand1
Related videos for ZANZIBAR; KUSAHAU CHANGAMOTO YA USAFIRI.: