@twalibabubakar28153 years agoHe deserve some respect he have done his best. 1
@
@mwetaiza50243 years agoKaribu sana yanga uungane na mzee mpiri.
@
@duniawadunia48243 years agoMzee mpili ameanza kazi yake sasa pole mzee wetu ila allah atakulipa. 2
@
@shetabody4463 years agoPole sana kaka yagu hajimanara mungu halali anaona mwenyezi mungu atakulipia.
@
@justineonline65563 years agoDar? Inasikitisha sana, pole sana mkuu, 1
@
@D-Man.B-Free3 years agoPole saana, mzee mpili kazi imeanza. Bado tarehe 25,
@
@merryjoseph13823 years agoManara sas umeelewaa maana ya tenda wema uende zakoo, dah pole sana. 2
@
@anthonysemiono35793 years agoHii sauti imeghushiwa bhana. Ngoja tarehe 25 ipite kwanza tutajuwa vizuri!
@
@richardmakene77803 years agoPole bro dunia haina haki bali kwa mung tu kka inauma lkn ipo xku.
@
@brownenas6033 years agoMnara huwa haangalii kesho yake hiyo ni laana kwa kutukana team kipenz ya babaako bila kujar, pole sana binafs nakuonea huruma sana kwa mtu mleamavu akiwa analia, 1
@
@jabually16583 years agoAnae uwaa ni muongu kaka wea achaa kazi tu kaka upumzike na familia yako.
@
@maidamwaipopo96033 years agoSasa unalia nini wee ndo ulie ichagua timu ya wanaviranga.
@
@kazkaz19433 years agoIla haj we ndo ulikua unajitapa una pesa marafiki zako matajir ahahahahah yamekukuta.
@
@Userog2543 years agoIla ungejikaza kaka ilimradi lipite hili kwanza la 25 jmn mtawapa mwanya wa kutufunga tn ss, maana waamuzi watachezesha hovyo kisingizio wametumwa na hajji.
@
@mwantumukawambwa87013 years agoHunalia ww maneno yak kunya juu ya yang sasa rahan ina kutafuna.
@
@esthermikoma98003 years agoKaka pole sana mungu atafungua milango mingine bado tunakupenda kaka hata sisi tunalia nyamaza kaka yetu kipenzi ncha simba bado.
@
@selinalukwembe73633 years agoAchana nao kabisa kama unajuwa wazulumaje waache kweli watakuwekea uga tuna mjuwa sn moo.
@
@subiraibrahim81003 years agoMatusi alokuwa akiwatukana watangazaji ndo malipo yake.
@
@rajabujohn45733 years agoHaji usiteseke toka tuachie timuyetu unalianinisasa simbakwasasa inamambo yakufanya usajili mechi ya fsinali nk ivi haji na mo weunafikili simba watachangua nanii no mo.
@
@levinachristopher51963 years agoDu! Pole sana kaka haji yani binadam, hawa aminiki hata ungemtawaza haja bado hata kuwa na shukrani usilie kaka ila kaa nao mbali wasikuuwe huhai ni id="hidden4" muimu sana kuliko vyote vipitavyo duniani ukihama simba mimi pia nina hama tupo nyuma yako na tunaelewa ulivoipigania simba kakaa pole sana. ...Expand
@
@mshantazuzu50933 years agoMzee mpili embu punguza vitu vyako vinatosha watauwana awa wenywe kwa wenywe.
@
@roseuwambe8933 years agoMakubwa wewe bingwa wa matusi leo wa kulia kama mtoto endelea kutukana bana usilie hawakuwezi.
@
@fadhilimwasumle1243 years agoAcha kutafuta huruma ya mashabiki, kama vp andika barua ya kuacha kaz sio kuria mitandaon.
@
@habibakhalfan10653 years agoMungu_halipi_ujinga_unaacha_kulilia_kheri_unalilia_mpira_uwiii.
@
@power.truckxd99573 years agoSasa manara siutafute kazikulipwa kidogo unalia nini.
@
@ramadhanichollo69913 years agoBaada ya dhiki faraja njoo yanga lisemwalo lipo hufi kwa ahadi njoo kwa maskini wenzio yanga oyee.
@levinachristopher51963 years agoDu! Pole sana kaka haji yani binadam, hawa aminiki hata ungemtawaza haja bado hata kuwa na shukrani usilie kaka ila kaa nao mbali wasikuuwe huhai ni id="hidden8" muimu sana kuliko vyote vipitavyo duniani ukihama simba mimi pia nina hama tupo nyuma yako na tunaelewa ulivoipigania simba kakaa pole sana. ...Expand
Related videos for MASIKINI MANARA UTAMUONEA HURUMA ALIA KAMA MTOTO ''MIMI MASIKINI WATANIUWA INATOSHA MPAKA MO ANA..: